ADVERTISEMENT
  • About Us
  • Home
  • Contact Us
Friday, February 26, 2021
EastAfrica Herald
Advertisement
  • Home
  • East Africa
  • Politics
  • Economy
  • Technology
  • Entertainment
  • Sports
  • More
No Result
View All Result
  • Home
  • East Africa
  • Politics
  • Economy
  • Technology
  • Entertainment
  • Sports
  • More
No Result
View All Result
EastAfrica Herald
No Result
View All Result

CRDB WAJA KIVINGINE KUHITIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Isdora Kabindo by Isdora Kabindo
October 10, 2020
in East Africa
0 0
0
CRDB WAJA KIVINGINE KUHITIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA
0
SHARES
0
VIEWS
Share on FacebookShare on Twitter
ADVERTISEMENT
Benki namba moja kwa utoaji wa Huduma za Kifedha hapa Nchini CRDB BANK Mapema leo hii wamefanya Hafla ya kuitimisha Wiki ya Huduma kwa wateja ambayo hi kila wiki ya kwanza ya mwezi Oktoba  takribani duniani kote. 
Kwa upande wa CRDB Benki wao wameitimisha wiki hii kwa namna ya kipekee kabisa ambapo wafanyakazi wamejiunga katika makundi mbalimbali (Team ) na kufanya mashindano ya kucheza mziki ambapo katika mashindano hayo Timu mbili ziliibuka mshindi baada ya kucheza kwa ustadi mkubwa.

” Hawa wameibuka washindi kwasababu kuna vigezo tumevizingatia sisi kama Majaji kwanza tumeangalia Ushirikiano katika uchezaji wao, Utayari wa kufika kwenye jukwaa, mwonekano wao , uteuzi wa nyimbo pamoja na walivyokua wanafuata mapigo ya mziki” Alisema Jaji wa Mashindano hayo.

Aidha kwa upande mwingine Mkuu wa kitengo cha Huduma kwa wateja Bi. Yolanda Urio amezipongeza sana Timu zilizoshinda na kusisitiza kuwa lengo lilikua ni kutoa burudani lakini pia kuangalia namna gani wafanyakazi wanaweza kujiongoza katika kufanya kitu kimoja ili kuweza kufikia lengo ( DREAM TEAM) 
Ameendelea kwa kuwashukuru wateja wote wa CRDB kwa ushirikiano wanaoendelea kuonyesha na kusisitiza kuwa wapo tayari kuwahudumia wakati wowote na Mahali popote.

Related

Previous Post

TIGO TANZANIA WASHIRIKI KONGAMANO LA NNE LA TEHAMA , WATANGAZA FURSA KWA VIJANA.

Next Post

Benki ya CRDB yazindua kampeni ya “Jipe Tano”

Related Posts

Maalim Seif Sharif Hamad
East Africa

The first Vice President of Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad Dies at 78

by ALLY MSANGI
February 17, 2021
0

Zanzibar's First Vice President Maalim Seif Sharif Hamad died earlier today while receiving treatment at Muhimbili National Hospital in Dar-es-salaam....

Read more
Morogoro Central Market

President Magufuli launches Morogoro Central Market

February 11, 2021
Amka na tigo

Tigo gives every customer FREE 10 minutes every day

February 11, 2021
African Court Judge

Justice Imani Aboud Appointed to African Court on Human and Peoples’ Rights

February 10, 2021
Next Post
Benki ya CRDB yazindua kampeni ya “Jipe Tano”

Benki ya CRDB yazindua kampeni ya "Jipe Tano"

Leave a Reply Cancel reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

KRANTZ MWANTEPELE (CEO )

KONCEPT TV

International News

  • Home
  • About Us
  • Economy
  • Technology
  • Politics
  • Contact Us

All rights reserved © 2020 East Africa Herald - Powered by Koncept.

No Result
View All Result
  • Home
  • East Africa
  • Politics
  • Economy
  • Technology
  • Entertainment
  • Sports
  • More

All rights reserved © 2020 East Africa Herald - Powered by Koncept.

Welcome Back!

Login to your account below

Forgotten Password?

Create New Account!

Fill the forms bellow to register

All fields are required. Log In

Retrieve your password

Please enter your username or email address to reset your password.

Log In

Add New Playlist